Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2017

MATOKEO YA FORM FOUR 2016/2017 HAYA HAPA

http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm

UANDISHI WA RIPOTI NA KUMBUKUMBU ZA MIKUTANO

1.UANDISHI WA RIPOTI Ripoti ni maelezo kuhusu mtu, kitu au jambo fulani lililotokea. Ni aina ya kumbukumbu ambazo huandikwa kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Ripoti inaweza kuwa ya uchunguzi wa utafiti kuhusu jambo fulani, inaweza kuwa ya polisi,daktari au ya tume fulani. Namna ya kuandika ripoti Kabla ya kuandika ripoti lazima kuwe na ushahidi unaohusu suala au jambo linaloandikiwa ripoti hiyo. Kwa hiyo, ni lazima mtunzi afanye uchunguzi kwanza. Pia mtunzi anapaswa kufahamu kiwango cha elimu na uwanja wa mtu anayemwandikia ripoti hiyo. Kwa mfano kama ni polisi,daktari,mwanasheria,mfanyabiashara n.k Lugha atakayoitumia mwandishi au mtunzi izingatie muktadha wa matumizi. Lugha itegemee aina ya ripoti. Hatua za uandishi wa ripoti (a) Kichwa cha ripoti Mtunzi aandike kichwa cha ripoti ambacho kinaonesha; kiini cha ripoti- ripoti inahusu nini,tarehe ya tukio au jambo linaloandikiwa ripoti na mahali palipotokea jambo hilo. (b) Utangulizi wa ripoti Katika hatua hii mtunzi hueleza k

KUUMWA KICHWA WAKATI WA UJAUZITO

Wanawake wengi hupata tatizo la kuumwa kwa kichwa wakati wa ujauzito. Hili tatizo huweza kutokea wakati wowote wa ujauzito lakini mara nyingi hutokea wakati wa trimester ya kwanza (miezi mitatu ya kwanza) na trimester ya tatu (miezi mitatu ya mwisho) ya ujauzito. Katika trimester ya kwanza kuumwa kwa kichwa mara nyingi husabababishwa na kuongezeka kwa hormone na damu inayosukumwa mwilini. Kuumwa kwa kichwa kunaweza kuongezeka zaidi pale mwanamke mjamzito akiwa na stress, kukosekana kwa usingizi, uchovu, mafua, kuwa na low blood sugar(sukari isiyotosha kwenye damu), ukosekanaji wa maji ya kutosha mwilini(dehydration),  kwa wale waliozoea kunywa kahawa kuacha kunywa kahawa kunaweza kusababisha kuumwa kwa kichwa. Kuumwa kwa kichwa wakati wa trimester ya mwisho husababishwa na kuongezeka kwa uzito unaoweka stress kwenye mwili, mwili kutokuwa balanced, pamoja na wanawake wengine kuwa na high blood pressure wakati wa ujauzito(preeclampsia). Mara nyingi mama mjamzito hashauriwi kunywa da

THE BEAUTYFUL ONES ARE NOT YET BORN by Ayi Kwei Armah

https://books.google.co.tz/books?id=adDP11OQ-7oC&printsec=frontcover

Matokeo darasa la nne

http://necta.go.tz/matokeo/2016/sfna/index.htm

KWENDA CHUO KIKUU SASA SIO LELEMAMA

Picha
Katika kipindi cha serikali ya awamu ya tano kufikia vigezo vya kuingia chuo kikuu ni swala la kutumia juhudi nyingi sana tofauti na miaka ya nyuma kutokana na mabadiliko mengi ya elimu nchini Tanzania.Miongoni mwa mabadiliko hayo ni kutolewa kwa matokeo ya kidato cha nne kwafumo wa division badala ya GPA pia kupandishwa kwa viwango vya ufaulu kidato cha nne na cha sita.kwahiyo wanafunzi walio shuleni tunahitajika kusoma kwa nguvu zote bila kupoteza hata dakika moja.

MATOKEO YA FORM TWO HAYA HAPA

http://www.necta.go.tz/results2015/csee/CSEE2015/index.htm

TAFSIRI NA UKALIMANI

UTAFSIRI ni kitendo cha kuahuwiha mawazo yaliyo katika maandishi kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine. Mawazo yanayoshughulikiwa katika tafsiri sharti yawe katika maandishi na si vinginevyo, pia mawazo kati ya lugha chanzi na lugha lengwa sharti yalingane. (Mwansoko, 1996:1). HISTORIA FUPI YA TAFSIRI Maendeleo ya kiuchumi, kisayansi na kiutamaduni yanayofurahiwa leo duniani yalitokana na juhudi za ugunduzi wa watu wa kale na yalizifikia nchi mbalimbali kwa njia ya tafsiri. Inasadikika kuwa sayansi na taaluma za kisasa zilianzia Afrika huko Misri miaka 3000 na zaidi kabla ya Kristo. Ugunduzi na ustaarabu wa Ulaya kwa karne za baadaye hususani karne ya 19 ulitokana na ugunduzi wa Afrika. Mbinu kuu katika kueneza elimu hii ya Wamisri huko Ulaya ilikuwa ni tafsiri. Wasomi wengi wa Ulaya walijifunza lugha ya Misri na kuishi huko kwa miaka mingi na hatimaye walitafsiri elimu hii ya Wamisri na mambo yote waliyojifunza huko na kuyasambaza Ulaya. Wakati wa himaya ya Warumi hasa baada ya Ukr

USAJILI WA MTIHANI WA CSEE NA QT 2017

http://necta.go.tz/files/TANGAZO%20-CSEE%2020h17.pdf